Color ::Brown, Cream & White
Designer :: Binti Afrika
Designer :: Binti Afrika
Make-up ::Rehema Msasani
MC ::Hidaya Njaidi
Caterer ::Hilda Caterer-+255 712 459 850
Hapa binti Afrika kamtoa kiafrika kweli kweli..!!!
Bonyeza kitufe uone mambo ya mujini..!!!
Kwa nyuma!!
Hair do za ukwee'e
Uafrika uliusika zaidi..!!
Hairdo ya mpambe
MC - Hidaya Njaidi
Decor....!!!
Zawadi
Cake & Champaign
Kikapu chenye matunda au mbogamboga!!
Champaign
akigonga glass na mama Jacq
Mashostito's
Burudani..!!
Happy Gal!!!
Hapana chezea Princess!!
Jacq akiyarudi si mchezo!!
ZAWADI
Mama ndio wa kwanza alipeleka Sanduku, kapu la mama nakitanda na dressing table!!
Mama Koku!!
Kaa mwanangueehh
Edna akienda kabidi zawadi!!
Edna akikabidhi sofas kwa dada yake!!
Sisterz Love, mimi nikiona hii huwa nasisimka!!
Akiwa na mashostito waliomsindikiza!!
CRDB Bank HQ & Mlimani City!!
CRDB bank ilihusu sana kwani mfanyakazi ni wa huko huko, hili ni Tawa la K-nyama pale milleniun tower
Marafiki wa bi harusi waliosoma wote Jangwani Secondary!
Wifi's wakipeleka zawadi
Hilda Clatterer, hii ni mara ya kwanza kuona, mpishi aliyewapikia akitoa zawadi nzuri na classic kwakweli, nilijaribu kuongea naye nikidhani kuwa anawafahamu au wamempa kazi mara nyingi akasema hapana yeye hufanya hivyo kila anapopata kazi! na bei zake ziko poa mtumieni jamani!!
Wanakamati wakienda kabidhi zawadi zao!!
umeona eeh!! kitchen Party zinasaidia, kuna mgumu mmoja aelewi kabisa!!
Edna akitunzwa na shostito Princess Latifah!!
mabest
Mama akitunza na wanaye!!
Mama Mary Rwiza
Wakimvisha mama yao kipenzi cheni ya dhahabu!! raha eeh!!!
Kisha wao na mashostito, wakamtunza vitenge wax na khanga!
Raha ya dunia ni watoto!!!
Msosi
Nyuso's
Mama na Mwana
RED CARPET
SWAGA
Mlipendeza sana na Bi harusi Mungu akutangulie kwenye ndoa yako na akupe uvumilivu
ReplyDeleteharusi nzuri na watu wamependeza
ReplyDeleteHivi jamani bongo hambadiliki tabia ya kupeleka mafanicha kwenye hall ni ushamba sana umemtunza mwanao kwani lazima kila mtu ajue badilikeni jamani
ReplyDeletewonderfull make up,mwaaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeletepicha nzuri ila nyingi hazifunguki
ReplyDeleteMdau hapo juu unayesema picha hazifunguki sio kweli landa internet ya providr wako iko slow, mimi hapa ni vodacom zimefunguka zote na kwa nusu dakika, internet iko hivi mwenye kisu kikali ndi mla nyama!! pole
ReplyDeleteni kweli picha nyingi hazifunguki.....
ReplyDeleteya ukwelı
ReplyDelete